2 Chronicles 1:1

Solomoni Aomba Hekima

(1 Wafalme 3:1-15)

1 aSolomoni mwana wa Daudi alijiimarisha kwenye milango yote! Katika ufalme wake, kwa kuwa Bwana Mungu wake alikuwa pamoja naye, naye akamfanya mkuu mno.

Copyright information for SwhNEN